MAALIM SEIF HAMAD USO KWA USO NA RAIS JOHN MAGUFULI, MAMBO YALIKUWA HIVI


Mwana siasa Mkongwe kutoka vyama vya Upinzani Upande wa Zanzibar Maalim Seif, Amefanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Magufuli Ikulu Jijini Dar es salaam



BM

BM